1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Michango ya Fedha kwa ajili ya Kampeni ya Uchaguzi nchini Kenya

31 Julai 2007

Huku uchaguzi wa Kenya ukiwa unakaribia, wagombea wa kiti cha urais akiwemo Rais Mwai Kibaki wanaendelea kuchangisha fedha zitakazotumika kwenye kampeni zao.

https://p.dw.com/p/CHAH

Zainab Aziz alizungumza na Profesa Tom Namwamba mhadhiri wa falsafa katika chuo kikuu cha Kenyatta juu ya wimbi hili la michango kwa ajili ya kampeni fedha zinazotarajiwa kufikia kiwango cha mabilioni ya fedha.