1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Miili ya wanajeshi wa Tanzania yaagwa DRC

Mohammed Khelef
11 Desemba 2017

Hafla ya maombolezi kuiaga miili ya wanajeshi 14 wa Tanzania waliouawa katika shambulio la waasi wa ADFkatika eneo la Semuliki wilayani Beni mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tarehe 7 Disemba zimefanyika mjini Beni leo kabla ya maiti hizo kusafirishwa kurejeshwa Tanzania.

https://p.dw.com/p/2pA2X