1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Misaada ya kigeni kwa Afrika: Neema au Laana?

Othman Miraji14 Januari 2012

Je, misaada ya maendeleo kutoka ng'ambo imezisadia nchi za Kiafrika kupiga hatua mbele au imezidumaza nchi hizo? Mpaka lini Afrika itaendelea kutegemea wafadhili kuliletea maendeleo bara hilo lenye utajiri wake?

https://p.dw.com/p/13jla
Akinamama wakilima nchini Burundi.
Akinamama wakilima nchini Burundi.Picha: picture alliance/africamediaonline

Sikiliza kipindi cha Maoni kutoka Deutsche Welle kikiongonzwa na Othman Miraji. Wachangiaji hoja ni Halima Sharif (mwandishi wa habari jijini Dar es Salaam), Salma Maulid (mwanaharakati wa haki za kiraia Zanzibar), Okiya Omtatah Okoiti (mwanaharakati wa haki za kiraia kutoka Kenya) na Richard Shaba kutoka Wakfu wa Kijerumani wa Konrad Adenauer, tawi la Tanzania.

Maoni: Othman Miraji
Mhariri: Mohammed Khelef