1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Vyombo vya habari

Mitandao ya kijamii ilivyotumika uchaguzi wa Kenya

Yusra Buwayhid
15 Agosti 2017

Kenya ilifanya uchaguzi wake mkuu tarehe 8 Agosti, kumteua rais mpya ambaye tayari ameshatangazwa kuwa ni Rais Uhuru Kenya. Lakini uchaguzi wa Jumanne ulikuwa tofauti na uchaguzi mwengine wowote ule wa nchini Kenya. Ni uchaguzi ambao mitandao ya kijamii ilikuwa na nafasi kubwa sana kushawishi wananchi na kuwaharibia sifa wapinzani.

https://p.dw.com/p/2iFjG