1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa mawaziri wa fedha wa Afrika

4 Aprili 2007

Mawaziri wa fedha mipango na maendeleo kutoka nchi mbali mbali za Afrika walikutana tena huko Addis Ababa Ethiopia kujadili mafanikio ya bara hilo kuelekea malengo ya Millenium yaliyopendekezwa na Umoja wa Mataifa.

https://p.dw.com/p/CHGx
Mwandishi wetu Anaclet Rwegayura amezungumza na waziri wa mipango,uchumi na wezeshaji wa Tanzania Dkt. Juma Ngasongwa ambaye amehudhuria mkutano huo na kwanza amemuuliza ni kwanini bara la Afrika linaonekana kuchelewa katika safari hii ya kufikia malengo ya Millenium?