1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa SADC kuhusu mzozo wa Zimbabwe nchini Tanzania

28 Machi 2007

Mkutano wa viongozi wa nchi wanachama wa jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika SADC unatarajiwa kuanza wakati wowote jini Dar es Salaam nchini Tanzania.

https://p.dw.com/p/CB51

Mkutano huo unapanga kujadili mzozo wa kisiasa wa Zimbabwe.

Mohamed Abdulrahman amezungumza na mwandishi wetu Badra Masoud kutaka kujua hali ilivyo kabla ya kuanza kwa mkutano huo.