1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa Wakuu wa Majeshi wa maziwa makuu mjini Bujumbura

23 Aprili 2008

Wakuu wa majeshi kutoka nchi nne za maziwa makuu, Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, Rwanda, Uganda na Burundi wamemaliza mkutano wao wa siku moja mjini Bujumbura.

https://p.dw.com/p/DnNl

Lengo ni kuendeleza juhudi za kuyatokomeza makundi ya waasi yanayovuruga usalama wa eneo hilo zima la maziwa makuu.

Kutoka mji mkuu huo wa Burundi mwandishi wetu Gregoire Nijimbere ana ripoti kamili.