Moto katika Mlima Kenya
18 Januari 2012Matangazo
Sasa wakaazi katika eneo hilo wanasema wana hofu kuwa huenda wanyamapori katika eneo hilo wakaanza kuingia katika makaazi yao huku wengine wakiilaumu serikali kwa kushindwa kuudhibiti moto huo. Mlima Kenya unachangia asilimia 80 ya uzalishaji wa umeme unaotokana na vyanzo vya maji.
Amina Abubakar amezungumza na Mkurugenzi wa shirika la huduma za wanyama pori nchini Kenya, KWS,Julius Kipngetich kujua hali kwa sasa hivi iko vipi.
Mwandishi: Amina Abubakar
Mhariri: Mohammed Khelef