1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mswaada wa kutoa msamaha kwa waasi wa Kivu ya Kusini na Kaskazini wapitishwa bungeni DRC

14 Julai 2008

Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo limepitisha mswaada wa kutoa msamaha kwa waasi wa mikoa ya Kivu ya kusini na Kaskazini.

https://p.dw.com/p/EcNb


Hata hivyo, hatua hiyo haijawaridhisha wanamgambo wa mkoa wa Ituri.Kutokana na hali hiyo kiongozi wa UPC, ameelezea kuwa ilibidi wanamgambo wa Ituri wapatiwe nao msamaha ili waliosalia msituni nao watoke huko.


Kutoka Beni Mwandishi wetu John Kanyunyu anaripoti zaidi