1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mtwara bado hali tete

24 Mei 2013

Hali mkoani Mtwara, kusini ya Tanzania, inaendelea kuwa ya wasiwasi kufuatia ghasia za hapo majuzi kupinga uamuzi wa serikali kutaka kujenga bomba la kusafirisha gesi kutoka eneo hilo kuelekea Dar es Salaam.

https://p.dw.com/p/18dL6
Tanzanian riot police van, divert to avoid fire set by a group of trouble makers at Tandika suburban in Dar es Salaam, Tanzania, Monday Nov. 1, 2010. A group of people believed to be supporters of the opposition Civic United Front (CUF), had protested outside Tandika- shuleni poling station in the capital Dar es Salaam as the Tanzania National Electoral Commission (NEC) began on Monday to announce partial results of Sunday's elections as the incumbent president is leading the poll. (AP Photo/Khalfan Said)
Tansania Sansibar Wahl Wahlen Polizei CUFPicha: AP

Mapema, Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi, aliliambia Bunge la nchi hiyo kwamba serikali imelazimika kutuma wanajeshi kutuliza hali, na sasa Waziri huyo anaripotiwa kuwapo Mtwara kutulizanisha hali

Saumu Mwasimba amezungumza na mwandishi wa habari wa Redio Safari, Bryson Mshana, juu ya kinachoendelea katika mkoa huo wa sasa.

Mwandishi: Saumu Yusuf
Mhariri: Mohammed Khelef