Mtwara bado hali tete
24 Mei 2013Matangazo
Mapema, Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi, aliliambia Bunge la nchi hiyo kwamba serikali imelazimika kutuma wanajeshi kutuliza hali, na sasa Waziri huyo anaripotiwa kuwapo Mtwara kutulizanisha hali
Saumu Mwasimba amezungumza na mwandishi wa habari wa Redio Safari, Bryson Mshana, juu ya kinachoendelea katika mkoa huo wa sasa.
Mwandishi: Saumu Yusuf
Mhariri: Mohammed Khelef