1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mubarak ajiuzulu

Kitojo,Sekione11 Februari 2011

Ni baada ya shinikizo la maandamano ya umma la muda wa siku 18 mfululizo.

https://p.dw.com/p/R0Cl
Ägypten Mubarak wendet sich an Ägypter
Rais wa zamani wa Misri Hosni MubarakPicha: picture alliance/dpa

Rais Mohamed Hosni Mubarak wa Misri hatimae amejiuzulu hatua inayomaliza miaka 30 ya utawala wake wa kimabavu. Mubaraka melikabidhi madaraka baraza la uongozi wa majeshi ya nchi hiyo. Tangazo la kujiuzulu kwake limetolewa na Jenerali Omar Suleiman alimteuwa hivi karibuni kuwa makamu wake wa rais. Hapo kabla iliripotiwa kwamba Mubarak na familia yake wameondoka kwa ndege ya kijeshi mjini Cairo na kwenda katika mji wa kitalii wa Sharm el-Sheikh. Kwa sasa ni mapema kufahamika iwapo atabakia Misri au ameondoka.