Liochapishwa 24 Januari 2024ilisahihishwa mwisho 24 Januari 2024
Lucia Manuel Tchiputo, mwamuzi wa mpira wa miguu nchini Angola wa kutolewa mfano katika jimbo la Cuando Cubando. Pamoja na kuwa chachu kwa waamuzi wa kike lakini pia anapigania mustakabali usio na vikwazo vya kijinsia katika soka la Afrika.