1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwamuzi wa kike wa soka wa Angola anakabiliwa na vikwazo

Sudi Mnette
Liochapishwa 24 Januari 2024ilisahihishwa mwisho 24 Januari 2024

Lucia Manuel Tchiputo, mwamuzi wa mpira wa miguu nchini Angola wa kutolewa mfano katika jimbo la Cuando Cubando. Pamoja na kuwa chachu kwa waamuzi wa kike lakini pia anapigania mustakabali usio na vikwazo vya kijinsia katika soka la Afrika.

https://p.dw.com/p/4bVCE