Mwanzo wa kuzama kwa Putin?
14 Desemba 2011Matangazo
Mohammed Khelef anauangalia uchaguzi wa karibuni wa Bunge nchini Russia, ambapo licha ya chama tawala cha United Russia kuibuka na ushindi unaolalamikiwa, chama kikongwe cha Kikomunisti kimefufuka kutoka makaburini na kuzoa kura nyingi zaidi kuliko iliyotegemewa.
Mtayarishaji/Msimulizi: Mohammed Khelef
Mhariri: Othman Miraji