1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mzozo wa mpakani baina ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na Uganda unazidi kupamba moto

16 Agosti 2007

Kikosi cha umoja wa mataifa cha MONUC kilikuwa msuluhishi katika mazungumzo baina ya majeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na Uganda ili kuepuke mapigano kati ya pande hizo mbili.

https://p.dw.com/p/CH9U

Mkutano huo ulifanyika baada ya mapigano katika eneo la Rukwangi kwenye Ziwa Albert.

Mwandishi wetu John Kanyunyu anaripoti zaidi,