1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NEW YORK. mswaada kupendekeza nchi za umoja wa Afrika kupeleka wanajeshi wake Somalia

28 Novemba 2006
https://p.dw.com/p/CCop

Marekani inatarajiwa wiki hii kuzindua mswaada wa baraza la usalama la umoja wa mataifa utakao ziruhusu nchi za kiafrika kuwapeleka wanajeshi wake wa kulinda amani katika nchi ya Somalia kwa ajili ya kuisaidia serikali ya mpito ya nchi hiyo iliyodhoofika.