JamiiNi miaka 25 tangu ujumbe wa kwanza wa sms utumweTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiJacob Safari12.12.201712 Desemba 2017Ni miaka 25 tangu ujumbe wa kwanza mfupi wa simu ya mkononi (SMS) kutumwa, utasikia pia kuhusiana na Facebook kuzindua App ya Messenger mahsusi kwa watoto kuzungumza na wazazi wao, pamoja na yaliyovuma mitandaoni, jiunge naye Jacob Safari. https://p.dw.com/p/2pBulMatangazo