1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Picha 8
John Juma
18 Agosti 2017
https://p.dw.com/p/2iOTZ

Cristiano Ronaldo, Gareth Bale na Paul Pogba: Wote walisajiliwa kwa fedha nyingi au takriban euro milioni 100 kila mmoja kama ada ya uhamisho. Wengi wamesema kuwa hilo halikubaliki. Lakini ghafla hali imefikia kiwango tofauti kutokana na kiasi cha fedha ambacho Neymar alinunuliwa. Kwa sasa hakika hata Bundesliga itahisi athari zake.