1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Njama za kuibadili katiba Uganda

Sylvia Mwehozi
11 Julai 2017

Ujerumani imetetea Operesheni za polisi dhidi ya waandamanaji wakati wa mkutano wa G20. Upinzani wamtaka Waziri Mkuu wa Pakistan Nawaz Sharif kujiuzulu. Na Kizza Besigye aonya dhidi ya kuifanyia mageuzi katiba ya Uganda. Papo kwa Papo 11.07.2017.

https://p.dw.com/p/2gLgL