1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Paul Kagame

Paul Kagame ndiye rais wa sita na wa sasa wa Rwanda, akiwa madarakani tangu mwaka 2000, wakati mtangulizi wake Pasteur Bizimungu alipojiuzulu. Kagame aliongoza kikosi cha waasi kilichokomesha mauaji ya kimbari 1994.

Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi