PYONGYANG.Korea Kusini yaonywa
26 Oktoba 2006Matangazo
Korea kaskazini imeionya Korea Kusini dhidi ya kujiunga na Marekani katika vikwazo ilivyo wekewa nchi hiyo baada ya kufanya jaribio lake la nyuklia.
Pyongyang imesema itachukuwa hatua iwapo Seoul itashiriki katika kutekeleza vikwazo dhidi yake na kwamba hatua hiyo itasabisha vita katika ghuba ya Korea.