Raia wa Iran wakamatwa na kasha la mripuko nchini Kenya
3 Julai 2012Matangazo
Wakati hayo yakifichuliwa , kumekuweko na tetesi kwamba hujuma zao zinahusiana na kile kinachoendelea nchini Somalia. Mohamed Abdulrahman amezungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa, Ahmed Rajab, aliyoko mjini Nairobi na kwanza alimuuliza kama kuna uwezekano wa matukio hayo kuwa na uhusiano na vita vinavyoendeshwa na waasi wa Al-Shabaab nchini Somalia.
(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Mohammed Abdul-Rahman
Mhariri: Othman, Miraji