Raia wa Mashariki ya Kongo wakumbuka miaka 14 ya vita vya waasi
2 Agosti 2012Matangazo
Vita hivyo viligharimu maisha ya watu si chini ya milioni tano, vikiyahusisha mataifa 6 barani Afrika na kumalizika mnamo mwaka 2003. Sudi Mnette alizungumza na mchambuzi Ahmed Rajab akiwa visiwani Zanzibar na kwanza alimuuliza siku kama ya leo inamkumbusha nini?
(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Mohammed Khelef