1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais Jacob Zuma bado akaliwa kooni

Sylvia Mwehozi
28 Septemba 2017

Wakurdi wa Iraq wamesherehekea ushindi walioupata baada ya kupiga kura ya NDIYO ya kujitenga kutoka Iraq. Nchini Uhispania serikali imesema itapeleka polisi zaidi ili kuwazuia watu kupiga kura ya maoni ya kutaka kujitenga ya mkoa wa Catalonia. Na maelfu waandamana Afrika Kusini kupinga ufisadi na rais Jacob Zuma.Papo kwa Papo 28.09.2017

https://p.dw.com/p/2ktV5