1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais Thabo Mbeki ziarani nchini Tanzania

5 Aprili 2007

Rais Thabo Mbeki wa Afrika Kusini amekuweko Tanzania tangu jana ambako amefanya mazungumzo na mwenzake, Rais Jakaya Kikwete, hasa kuhusu masuala ya kibiashara baina ya nchi zao mbili na miradi ya maendeleo ya ule mpango wa NEPAD.

https://p.dw.com/p/CHGp
Rais Thabo Mbeki wa Afrika Kusini
Rais Thabo Mbeki wa Afrika KusiniPicha: AP

Mwandishi wetu Badra Masoud kutoka Dar es Salaam, amezungumza na Othman Miraji juu ya umuhimu wa ziara hiyo.