1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Riadha-Mbio za marathon za Roma

18 Machi 2007
https://p.dw.com/p/CCHo

Na hatimae riadha:

Chelimo Kemboi wa Kenya ameibuka na ushindi wa mbio za 13 za marathon za Roma hii leo akitumia saa mbili dakika 9 na sekondi 36.Amempita kwa sekondi 36 Jose Manuel Martinez wa Hispania huku nafasi ya tatu ikishikiliwa na raiaq mwengine wa Kenya, Jonathan Kosegei kwa saa mbili dakika kumi na sekondi 25.