1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ripoti iliyotolewa na International Republican kuhusu serikali ya Kenya

18 Aprili 2007

Kulingana na ripoti iliyotolewa na taasisi ya Marekani iitwayo International Republican,zaidi ya asilimia 65 ya wabunge wa Kenya watapoteza viti vyao kwenye uchaguzi mkuu ujao wa mwezi Desemba kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao ipasavyo.

https://p.dw.com/p/CHFx
Rais Mwai Kibaki wa Kenya
Rais Mwai Kibaki wa KenyaPicha: AP

Pia ripoti hiyo imedai kwamba serikali ya rais Mwai Kibaki imeshindwa kuangamiza rushwa kwenye serikali na mashirika ya umma.

Mwandishi wetu Mwai Gikonyo anaripoti zaidi.