Nini nafasi ya mitandao hii kwenye kubadili maisha ya vijana wa Kiafrika na kuwafanya kuleta mabadiliko chanya kwenye maisha yao? Mjini Nairobi, Mohammed Khelef alikutana na mwanablogu maarufu Robert Alai, na hapa anazungumzia kile ambacho mitandao ya kijamii inamaanisha kwake na kwa jamii ya vijana wa Kenya