1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sakata la kufungwa kwa chombo cha habari DRC

Admin.WagnerD15 Desemba 2011

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imeripotiwa kufunga kituo kimoja cha habari kutokana na madai ya kukiuka taratibu za utangazaji. Jambo ambali linaendeleza milolongo ya matukio baada ya uchaguzi mkuu.

https://p.dw.com/p/13TP1
Titel: DW Schlindwein Kabila Fans feiern Schlagworte:Kinshasa, Flagge, Kabila, Wahlsiegh Wer hat das Bild gemacht/Fotograf?: Simone Schlindwein Wann wurde das Bild gemacht?: 9.12.2011 Wo wurde das Bild aufgenommen?: Kinshasa, Dr Kongo Bildbeschreibung: Bei welcher Gelegenheit / in welcher Situation wurde das Bild aufgenommen? Wer oder was ist auf dem Bild zu sehen? Wahlsieg feierh Kabila Fans vor der wahlkommission Hiermit räume ich der Deutschen Welle das Recht ein, das/die von mir bereitgestellte/n Bild/er zeitlich, räumlich und inhaltlich unbeschränkt zu nutzen. Ich versichere, dass ich das/die Bild/er selbst gemacht habe und dass ich die hier übertragenen Rechte nicht bereits einem Dritten zur exklusiven Nutzung eingeräumt habe. Simone Schlindwein
Wafuasi wa Joseph KabilaPicha: Simone Schlindwein

Tangu kutolewa kwa matokeo ya uchaguzi katika jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo na kumpa rais wa sasa joseph kabila ushindi wa asilimia 49, kumekuwa na utata juu ya matokeo hayo. Kituo kimoja cha habari kimefungwa nchini humo kwa shutuma za kuchochea ghasia. Sikiliza mahojiano ya Amina Aboubakar amezungumza na mwenyekiti wa halmashauri ya upashaji habari nchini Congo Bw .Jean Bosco  juu ya swala hilo.

Mhariri :Mohammed Abdulrahman