1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Santa Cruz. Bolivia yataifa visima vya gesi na mafuta.

29 Oktoba 2006
https://p.dw.com/p/CCyE

Serikali ya Bolivia imefikia makubaliano kuhusu nishati na makampuni 10 ya kigeni kabla ya muda wa mwisho kufika kwa makampuni ya kigeni kuingia mikataba ama kuondoka nchini humo.

Rais Evo Morales ametaifisha makampuni ya gesi na mafuta mwezi May kuipa serikali udhibiti zaidi pamoja na fedha zaidi.

Morales amesema hatua hiyo itaiingizia nchi hiyo dola bilioni nne kwa mwaka dhidi ya fedha zinazopatikana hivi sasa dola milioni 200 kwa mwaka.

Makampuni ya kigeni yatapaswa hivi sasa kufanyakazi