1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sema Uvume; Meta yazindua huduma ya kulipia kwenye mitandao

Sylvia Mwehozi1 Machi 2023

Kampuni ya Meta inayomiliki mitandao ya kijamii ya Facebook na Instagram imetangaza kuanza kuwatoza ada ya kila mwezi watumiaji wake wanaotaka tiki ya bluu ikiwa ni mwelekeo kama ule ulionzishwa na Twitter

https://p.dw.com/p/4O6GF