1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Semina ya ukaguzi wa fedha nchini Tanzania

22 Mei 2007

Semina maalum imefanyika mjini Dar es Salaam chini ya uandalizi wa Chuo Kikuu cha State Mjini New York nchini Marekani.

https://p.dw.com/p/CHE0
Jiji la Dar es Salaam palipofanyika Semina ya ukaguzi wa fedha
Jiji la Dar es Salaam palipofanyika Semina ya ukaguzi wa fedhaPicha: DW /Maya Dreyer
Mkutano huo unalenga kudhibiti rushwa na ubadhirifu serikalini. Hii inatokea baada ya ripoti za fedha za serikali kupotea kutangazwa hadharani. Semina hiyo ilihudhuriwa na wabunge. Mwandishi wetu wa Dar es Salaam Christopher Bhuke alizungumza na Hamad Rashid Mohamed wa Chama cha upinzani cha CUF aliyehudhuria kikao hicho.