1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Serikali ya DRC kuwa na mazungumzo na waasi wa M23

6 Desemba 2012

Wajumbe wa Serikali ya DRC wanasemekana kuwa wameshawasili Kampala, Uganda, kwa mazungumzo na waasi wa M23 yanayotarajiwa kuanza hivi leo 06.12.2012 ikiwa ni katika juhudi za kuutafutia ufumbuzi mgogoro baina yao.

https://p.dw.com/p/16wZy
Waasi wa M23 kufanya mazungumzo na serikali ya DRC.
Waasi wa M23 kufanya mazungumzo na serikali ya DRC.Picha: AP

Sylvia Mwehozi amezungumza na kiongozi wa tawi la kisiasa la M23, Jean-Marie Runiga ambaye anatarajiwa kuongoza upande wa waasi kwenye mazungumzo hayo.

(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Sylvia Mwehozi

Mhariri: Yusuf Saumu