Serikali ya Umoja wa Komoro na suala la kisiwa cha Anjouan
21 Agosti 2007Matangazo
Kuundwa Serikali hiyo kutazidi kuleta utata mkubwa kati ya Serikali ya Umoja na utawala wa Anjouan. Serikali ya Komoro, kupitia waziri wa mambo ya kigeni, imepinga vikali kuwepo kwa Serikali hiyo.
Abdulrahman Baramia anaripoti kutoka Moroni.