1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Siku ya Kimataifa ya Ukeketaji dhidi ya wanawake

6 Februari 2012

Kila mwaka siku kama ya leo, dunia nzima inaungana pamoja katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga vitendo vya ukeketaji dhidi ya wanawake.

https://p.dw.com/p/13xjs
Frauengruppen in Somalia starten am 8.3.2004 in Mogadischu die erste landesweite Kampagne gegen die Beschneidung von Mädchen (FGM=Female Genital Mutilation). Somalia gehört zu den am stärksten betroffenen Ländern weltweit. Häufig wird die radikalste Form praktiziert, bei der die Schamlippen entfernt werden und die Wunde dann zugenäht wird. Viele Frauen in Somalia leiden ihr Leben lang an Infektionen und Schmerzen. Vor der Geburt eines Kindes muss die Narbe aufgeschnitten werden. In Somalia sterben nach Angaben der Hilfsorganisation Novib 1600 von 100000 Frauen bei der Geburt. Das entspricht etwa 45 Frauen pro Tag
Wanawake wa Kisomali wakifanya kampeni dhidi ya ukeketajiPicha: picture-alliance / dpa/dpaweb

Siku hii imetambuliwa na umoja wa mataifa kama siku ambayo habari tofauti zinatolewa kwa umma ili kujifunza mengi juu ya mila hii potofu inayowanyanyasa wanake na kuhujumu haki zao.

Bado mila hii inayoleta athari nyingi kwa wanawake inaendelezwa katika kabila nyingi barani Afrika.

Ripoti ya mwandishi wa DW Debora Miranda  inasomwa  studioni  na  Sekione  Kitojo.

Mwandishi Sekione Kitojo

Mhariri Josephat Charo

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi