1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Siku ya Maji duniani - hali visiwani Zanzibar

22 Machi 2013

Leo ni siku ya maji duniani, kauli mbiu ya Umoja wa Mataifa ni kupunguza idadi ya watoto wanaokufa kutokana na magonjwa yanayosababishwa na ukosefu wa maji, na idadi ya watu wasiopata maji ambao ni takribani bilioni 2.5.

https://p.dw.com/p/182YV
Tatizo la maji safi lipo duniani kote.
Tatizo la maji safi lipo duniani kote.Picha: dapd

Huko Zanzibar, kuna tatizo litokanalo na hali ya kuenea kwa maji chumvi, katika maeneo ambayo hapo nyuma yalikuwa na maji safi, na hilo linatatiza upatikanaji wa maji katika kisiwa hicho. Muda mfupi uliopita Daniel Gakuba amezungumza na mtaalamu wa mazingira huko Zanzibar, Hamza Zubeir, na kwanza alimuuliza kuhusu ukubwa wa tatizo hilo. Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Daniel Gakuba

Mhariri:Yusuf Saumu