1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Siku ya mwisho kwa viongozi wa wapiganaji kuweka silaha chini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo

14 Mei 2008

Leo ni siku ya mwisho kwa viongozi wa makundi ya wapiganaji katika mikoa ya kivu kusini na kaskazini huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.

https://p.dw.com/p/Dzsy

Viongozi hao kesho wanatazamiwa kuwasilisha ripoti ya kampeni zao kwenye tume ya pamoja inayohusika na amani.


Mwandishi wetu John Kanyunyu ametutumia ripoti ifuatayo.