1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Siku ya mwisho ya waasi wa FNL Palipehutu kurudi Burundi

14 Mei 2008

Leo ni siku ya mwisho waliyopewa waasi wa kundi la FNL Palipehutu kurudi nchini Mwao kwa minajili ya kutekeleza makubaliano ya amani.

https://p.dw.com/p/Dzad

Hata hivyo viongozi hao bado wapo nchini Tanzania.Viongozi wa eneo hilo la maziwa makuu walitoa muda wa hadi tarehe 15 maafisa hao wa FNL akiwemo kiongozi wao Agaton Gwasa warudi mjini Bujumbura lakini taarifa zinasema haijulikani ni lini Gwasa atarudi nchini Burundi.

Ili kujua ni kwanini bado maafisa hao wa FNL wako nchini TZ Saumu Mwasimba alizungumza na msemaji wake Pastel Habimana na kwanza alikuwa na haya ya kusema.