1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Soka. Werder warejea kileleni.

3 Desemba 2006
https://p.dw.com/p/CCnF
Kansela Angela Merkel wa Ujerumani
Kansela Angela Merkel wa Ujerumani

Nchini Ujerumani, Werder Bremen imerejea kileleni tena katika ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga kwa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Hertha BSC Berlin.

Mabingwa watetezi Bayern Munich walipata sare ya bao 1-1 dhidi ya Borrusia Mönchengladbach.

Katika michezo mingine Borussia Dortmund imeizaba Wolfsburg kwa bao 1-0 na Hanover imerejea matokeo kama hayo dhidi ya Cottbus.

Bielefild na Leverkusen walitoka sare ya bila kufungana .

Na katika mpambano wa timu zilizoko katika eneo la kushuka daraja Bochum iliichapa Hamburg kwa mabao 2-1.