Serikali ya Uganda itaanzsiha mpangp wa kutoa bure kwa wananchi taa zinazotumia umeme mdogo au balbu zinazojulikana kama energy saver, ili kupunguza uhaba wa umeme nchini humo.
https://p.dw.com/p/CHle
Matangazo
Kwa mengi zaidi, sikiliza ripoti ya mwandishi wetu wa Kampala, Omar Mutasa.