1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 23.10.2023

Josephat Charo
23 Oktoba 2023

Mapambano ya Israel katika Ukanda wa Gaza na katika mpaka na Lebanon yaongezeka. Wanajeshi wawili wa Iraq na wapiganaji wawili wa Peshmerga wauliwa kaskazini mwa Iraq. Na mapigano mapya yazuka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

https://p.dw.com/p/4Xsyb