1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Magufuli amtetea Paul Makonda

4 Oktoba 2017

Rais wa Tanzania, John Magufuli, amesema hajali iwapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ana vyeti halisi au la, anachojali ni kuwa Makonda anapambana na madawa ya kulevya. Mchambuzi Bashiru Ally afafanua.

https://p.dw.com/p/2lCgu
Rais wa Tanzania, John Magufuli
Picha: DW/S. Michael

mmt J2.04.10.2017-Magufuli's Statement - MP3-Stereo