Tanzania: Mahakama yaahirisha swala la mbunge Hamad Rashid wa CUF
19 Januari 2012Matangazo
Shauri hili lilipangwa kusikilizwa leo, na sasa linatarajiwa kusikilizwa Machi 17. Hamad Rashid, kama mtuhumu, alikuwepo mahakamani na nilizungumza nae baada ya Jaji Agostino Shango wa mahakama hiyo kuliahirisha shauri hilo.
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Miraji Othman