Tanzania: Mgomo wa madaktari wazuka tena
25 Juni 2012Matangazo
Hii ni mara ya pili kwa madaktari hao kugoma baada ya kufanya hivyo mwanzoni mwa mwaka huu. Kutoka Daressalaam, George Njogopa anaarifu zaidi.
(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: George Njogopa
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman