1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Mitandao ya kijamii na uchumi

Mohammed Khelef10 Novemba 2016

Mwenzangu Mohammed Khelef amezungumza na George Akilimali, mwanzilishi wa Kampuni ya SmartCore Social Enterprise, inayojihusisha na uwezeshaji wa vijana katika kuifikia teknolojia, jijini Arusha, kaskazini mwa Tanzania, juu ya dhana ya "uchumi wa mitandao ya kijamii".

https://p.dw.com/p/2SSbW