1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Sakata la Dowans

29 Septemba 2011

Nchini Tanzania Mahakama Kuu ilitoa hukumu ya kuridhia malipo ya fidia ya fedha kwa Kampuni ya ya Dowans ambayo ilisajili,tuzo yake iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Kibiashara (ICC).

https://p.dw.com/p/12j0b
Watanzania wakabiliwa na mgao wa umemePicha: Fotolia/Petoo

Kufuatia uamuzi huo Shirika la umeme TanzaniaTanesco sasa linatakiwa iilipe Dowans kiasi cha Sh111 bilioni, badala ya Shilingi 94 bilioni za awali ikiwa ni pamoja na riba ya asilimia 7.5.
Aboubakary Liongo alizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe, amesema hukumu hiyo ni matokeo ya wanasiasa kutofuata ushauri wa kitaalam na kuweka mbele maslahi ya kisiasa.

Mwandishi:Aboubakary Liongo

Mhariri:Othman Miraji