1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Sensa ya watu kufanyika tarehe 26 Agosti,2012

24 Agosti 2012

Tanzania itafanya sensa ya watu na makaazi tarehe 26 mwezi Agosti mwaka huu.

https://p.dw.com/p/15wJC
Wananchi wasubiri kuhesabiwa nchini Tanzania
Wananchi wasubiri kuhesabiwa nchini TanzaniaPicha: DW

Ikiwa umesalia Muda mfupi kufikia kwenye siku yenyewe ya watu kuhesabiwa, bado kumekuwa na hali ya mitazamo tofauti baina ya wananchi wa taifa hilo ambapo baadhi wanasema kuwa hawatashiriki mchakato huo. Stumai George amezungumza na Ephraim Kwesikabo, Mkurugenzi wa sensa na takwimu za jamii katika Ofisi ya Taifa ya Takwimu; NBS, nchini humo na kwanza anaelezea maandalizi yalipofikia.

(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Stumai George

Mhariri: Mohamed Abdulrahman