1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania, Uganda zataka kuwa wenyeji wa AFCON 2027

Omar Mutasa/Interview15 Julai 2022

Tanzania na Uganda zimekubaliana kuandaa kombe la mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Hayo yametangazwa na Rais wa shirikisho la kandanda barani Afrika (CAF) Bw Patrice Motsepe ambaye yuko ziarani nchini Uganda

https://p.dw.com/p/4EAnB