1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Sanaa

Tatizo la kuchanganya "R" na "L" Tanzania

Anuary Mkama5 Machi 2018

Makala ya Utamaduni na Sanaa inajikita katika tatizo wanalopata baadhi ya watu wanaoishi maeneo fulani ya Tanzania ama watu wa jamii fulani ambao katika mazungumzo huchanganya herufi "L" na "R". Utafiti unaonyesha kwamba lugha za asili hukiathiri Kiswahili kwa njia mbalimbali. Anuary Mkama anakueleza mengi zaidi katika kipindi chake.

https://p.dw.com/p/2tipS