1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Viongozi wa G7 wakutana Sicily

Daniel Gakuba
26 Mei 2017

Viongozi wa nchi za G7 waanza mkutano nchini Italia wakitiwa hofu na sera za Rais Donald Trump wa Marekani, mtu mwingine amekamatwa nchini Uingereza kuhusiana na shambulizi la bomu lililouwa watu 22 mjini Manchester Jumatatu usiku, na Zambia yatafakari kuuhamisha mji wake mkuu kutoka Lusaka hadi katikati mwa nchi kusiko na msongamano mkubwa wa watu. Papo kwa Papo 26.05.2017

https://p.dw.com/p/2ddhF