1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ufugaji pweza wawainua wakazi wa Tumbatu

Josephat Charo
6 Novemba 2017

Chini ya mradio huo pweza hufungwa miezi mitatu baadae ndio huvuliwa wakiwa na ukumbwa kutoka kilo tatu hadi kilo sita. Mradi wa uvunaji wa pweza kisiwani Tumbatu umewasaidia wananchi wa kisiwa hicho na zaidi wanawake wa Tumbatu kutokuwa tegemezi ka wenyewe wanathibitisha hilo.

https://p.dw.com/p/2n7j1